Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Algiers, Algeria. Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Nje na Diaspora wa Algeria, Mhe. Ahmed Attaf na kulia ni Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mej. Jen. (Mst), Jacob Kingu wakishuhudia ufunguzi huo.
Read More