[caption id="attachment_35590" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani (kushoto) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt Adelardus Kilangi (katikati), wakiongoza kikao cha maandalizi kuhusu ushiriki wa Serikali katika Kongamano la Mafuta na Gesi, linalotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam, Septemba 24 na 25, 2018. Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt Hamis Mwinyimvua. Kikao hicho kimefanyika leo, Septemba 23, 2018 jijini Dar es Salaam.[/caption]
Na: Veronica Simba – DAR ES SALAAM
Wizara ya Nishati na O...
Read More