Na Jonas Kamaleki, Dodoma
Serikali imewataka wachimbaji wadogo wadogo Mkoani Dodoma kulipa maduhuli yake ili kuiwezesha kutekeleza mipango yake ya maendeleo ikiwemo kutatua changamoto zinazowakabili wachimbaji hao.
Rai hiyo imetolewa leo na Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Prof. Idris Kikula wakati wa ziara ya kukagua shughuli za uchimbaji madini Mkoani Dodoma.
“Utakuta leseni moja inatumiwa na watu kama kumi ambao hawalipi kodi ya Serikali, hii haivumiliki, ulipaji wa maduhuli hayo uanze mara moja”, alisema Prof. Kikula.
Akiongea kuhusu uch...
Read More