Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Ndg. Veron Mosengo-Omba mara baada ya kufanya mazungumzo katika Makao Makuu ya Shirikisho hilo Cairo Misri Septemba 25, 2023.
Read More