Na. Tiganya Vicent, RS TABORA
Wakazi wa Mkoa wa Tabora wametakiwa kuhakikisha wanaunga mkono juhudi za viongozi mbalimbali mkoani humo katika kampeni za upandaji miti badala ya kuwakatisha tamaa kwa kuichoma moto na kuing’oa miti hiyo.
Kauli hiyo ilitolewa jana mjini Tabora na Mke wa Mkuu wa Mkoa huo ,Bibi Grace Mwanri wakati wa zoezi la upandaji miti maji 500 iliyotolewa na Kampuni ya Usambazaji wa Gesi ya Manji’s kwa ajili ya kuungana na uongozi wa Mkoa wa Tabora katika kampeni ya kuifanya Tabora iwe ya kijana katika kipindi kifupi.
Alisem...
Read More