[caption id="attachment_48452" align="aligncenter" width="750"] Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa akizungumza na Ujumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (hawapo pichani), walipomtembelea ofisini kwake, Oktoba 30, 2019 wakiwa katika ziara ya kazi kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini mkoani humo.[/caption]
Na: Veronica Simba – Mtwara
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa ametoa wito kwa sekta binafsi nchini kujitathmini na kufanya kazi kwa uadilifu ili kuonesha mchango wao katika kujenga nchi, hususan kupitia utek...
Read More