[caption id="attachment_42218" align="aligncenter" width="1000"] Meneja wa Usalama Barabarani toka Shirika la Afya Duniani (WHO), Bibi. Mary Kessy akizungumza wakati wa mafunzo kwa Waandishi wa Habari kuhusu usalama Barabarani leo jijini Dodoma. Mafunzo hayo yanayoratibiwa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia Kamati ya Kitaifa ya Usalama Barabarani ya Bloomberg Global Initiative chini ya ufadhili wa Shirika la Afya Duniani (WHO).[/caption]
Na Immaculate Makilika- MAELEZO
Serikali kwa kushirikiana na wadau mb...
Read More