Naibu Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi wa Misri, Mhandisi
Mahmoud Fahmy Nassar (watatu kushoto), Kaimu Kamishina wa Umeme na
Nishati Jadilifu Mhandisi Innocent Luoga (wapili kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO) Mhandisi Dkt. Tito Mwinuka (wakwanza kushoto), wakiwa na wakandarasi kutoka kampuni za Arab Contractors na Elsewedy za Misri wakiwa eneo la mradi wa umeme wa maporomoko ya maji ya mto
Rufiji (RHPP) wa megawati 2, 115 wakati w aziara ya viongozi hao eneo la mradi Julai 4, 2019.
Naibu...
Read More