[caption id="attachment_48865" align="aligncenter" width="807"] Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Dunstan Kitandula (wa nne kutoka kulia) akizungumza jambo wakati wa semina iliyoandaliwa na Wizara ya Nishati kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini iliyofanyika jijini Dodoma Novemba 13, 2019. Wa Pili kulia ni Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani na wa kwanza kulia ni Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati, Dkt Hamisi Mwinyimvua.[/caption]
Na: Veronica Simba na Teresia Mhagama - Dodoma
Wizara ya Nisha...
Read More