[caption id="attachment_51369" align="aligncenter" width="1000"] Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Petro Lyatuu akizungumza katika kikao cha kujadili maeneo ya ushirikiano baina ya Serikali ya SMT na SMZ.Kulia ni Mwenyekiti wa kikao hicho Bw Mahmoud Omar Hamad ambaye ni Mkurugenzi wa Mipango, Sera na Utafiti kutoka Wizara ya Habari,Utalii na mambo kale Zanzibar. Kikao hicho kilichofanyika Machi 02, 2020 Mjini Zanzibar.[/caption]
Na Shamimu Nyaki - WHUSM, Zanzibar
Serikali ya Tanzania Bara na Se...
Read More