[caption id="attachment_51413" align="aligncenter" width="750"] Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia katika Hafla ya Ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa Kazi na Ajira, Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC), uliofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere(JNICC), Jijini Dar es Salaam, Tanzania.[/caption]
[caption id="attachment_51414" align="aligncenter" width="750"] Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,...
Read More