Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula (wa kwanza kulia), akikata utepe kuzindua mnara wa mawasiliano wa Igando mkoani Geita. Wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Geita, Mhandisi Charles Kabeho na wa pili kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania, Waziri Kindamba
Na Prisca Ulomi, WUUM, Chato
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula amezindua minara miwili ya mawasiliano iliyopo kwenye kijiiji...
Read More