[caption id="attachment_47632" align="aligncenter" width="750"] Katibu mkuu , Ofisi ya Waziri mkuu Sera, Uratibu na Uwekezaji Bi Dorothy Mwaluko akizungumza wakati wa hafla ya kufunga mkutano wa wadau wa lishe Jijini Dodoma Oktoba 4,2019 kwa niaba ya Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri mkuu, Kazi Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu mhe. Jenista Mhagama.[/caption]
Na Mwandishi wetu- Dodoma
Maafisa lishe nchini wametakiwa kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kuzingatia lishe bora ili kuondoa changamoto ya utapiamlo na udumavu katika jamii.
Akizungum...
Read More