[caption id="attachment_44488" align="aligncenter" width="822"] Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji) Bi Doroth Mwaluko akifungua mafunzo kwa watumishi wa Ofisi hiyo wanaotarajiwa kustaafu utumishi wa umma hivi karibuni leo June 17, 2019 Jijini Dodoma.[/caption]
Na Mwandishi Wetu
Watumishi wanaotarajia kustaafu wameaswa kuzingatia mabadiliko ya maisha kutoka katika utumishi wa umma kwenda katika mfumo wa maisha ya kawaida na kujiepusha kufanya miradi ambayo hawana ujuzi wa kutosha kuihusu.
Akizungumza katika mafunz...
Read More