Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya akizungumza na uongozi wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), (hawapo pichani), wakati wa ziara yake kwa wakala huo, mkoani Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya, amewataka wahandisi, wakandarasi, wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi kuongeza ubunifu na kuzingatia maadili katika majukumu yao ya kazi ili kuliwezesha Taifa kunufaika na thamani ya fedha katika miradi ya ujenzi inayoendelea.
Akizungumza mkoani Dar es Salaam, mara baada...
Read More