[caption id="attachment_52370" align="aligncenter" width="750"] Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Yusuph Singo akifafanua kuhusu usajili wa wanamichezo wa kigeni hapa nchini leo Aprili 29,2020 Jijini Dodoma.[/caption]
Na Shamimu Nyaki, WHUSM-Dodoma
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limepewa jukumu la kuendelea kuandaaa mwongozo utakaotumika kukusanya maoni kutoka kwa wadau kuhusu ukomo wa wanamichezo wa nje hapa nchini.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Idara ya Maend...
Read More