Kuhusu Walioteuliwa Kugombea Udiwani Katika Kata 43 Zitakazofanya Uchaguzi Mdogo Tarehe 26 Novemba, 2017
Tarehe 26 Oktoba, 2017, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilifanya Uteuzi wa Wagombea Udiwani kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo katika Kata 43 zilizopo kwenye Halmashauri 36 za Tanzania Bara unaotarajiwa kufanyika tarehe 26 Novemba, 2017.
Jumla ya Wanachama Wagombea 177 wa vyama mbalimbali walichukua Fomu ya Uteuzi Na. 8C na Fomu ya Maadili ya Uchaguzi Na. 10, kati yao 174 sawa na asilimia 92.7 ni wanaume na 13 sawa na asilimia 7.3 ni wanawake.
Jumla y...
Read More