Naibu Waziri wa Uchukuzi, Atupele Mwakibete, akisisitiza jambo kwa Mwongoza Ndege Mkuu, Bw. Shukuru Nziku, wakati alipotembelea Chuo cha Usafiri wa Tanzania (CATC), jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Atupele Mwakibete, ameipongeza Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), kwa kuvuka lengo la ukusanyaji wa mapato kupitia Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC), ambapo katika mwaka huu wa fedha 2020/21 kimeweza kukusanya takribani Shilingi bilioni 2 kutoka Milioni 500 zilizokusanywa 2017/2018 na hivyo kuongeza mapato ya Mamlak...
Read More