Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Johari Masoud Sururu
(kulia) akipokea Salamu ya Heshima kutoka kwa Afisa Uhamiaji Mkoa wa Kaskazini
Unguja, Mrakibu Mwandamizi wa Uhamiaji Muhsin A. Muhsin akimkaribisha rasmi
Kamishna huyo kutembelea Kituo cha Uhamiaji kilichopo Bandari ya Mkokotoni, Wilaya
ya Kaskazini “A” jana tarehe 06 Disemba, 2017 wakati akiendelea na ziara ya
kikazi Mkoani Humo.
Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Johari Masoud Sururu
(juu) akiwaasa watumishi wa Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Kaskazini Unguja,
kuzingatia Maadili ya k...
Read More