Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi, Mhandisi Zena Ahmed Said na (kulia kwake) Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar, Mhe. Shaban Ali Othman na (kushoto kwake) ni Katibu Mkuu Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar, Kepteni Hamad Bakar Hamad, alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya Golden Tulip uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja kwa ajili ya Uzinduzi wa Duru ya Kwanza ya utoaji wa Vitalu vya Mafuta na Gesi Asilia kwa Wawekezaji, iliyofanyika leo 20-3-2024.
Read More