Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Ajitambulisha kwa Rais Dkt. Mwinyi.
Sep 11, 2023
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akizungumza na uongozi mpya wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki uliongozwa na Mhe. Januari Makamba (wa pili kulia) akifuatiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mbarouk Nassir akifuata Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Afrika Mashariki, Mhe. Stephen Byabato (kushoto) walipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo kujitambulisha.
Na
Ikulu - Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi (katikati) akimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Januari Makamba (wa pili kulia) alipofika kujitambulisha na Ujumbe wake wa Uongozi mpya wa Wizara hiyo Ikulu Jijini Zanzibar leo.