Tuvuti Kuu
Mrejesho
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO
Waziri Mkuu Majaliwa Akutana na Wajumbe wa Kamati ya Hamasa ya Timu za Taifa
Jan 17, 2024
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wajumbe wa kamati ya hamasa ya timu za Taifa, kikao hicho kimefanyika ofisi ndogo ya Waziri Mkuu, Oysterbay jijini Dar es salaam, Januari 17, 2024. Mheshimiwa Waziri Mkuu ameipongeza kamati hiyo kwa kufanikisha harambee ya kuzichangia timu za Taifa iliyofanyika Januari 10, 2024 kwenye ukumbi wa hoteli ya Johari Rotana jijini Dar es Salaam.
Na Ofisi ya Waziri Mkuu
Habari Mpya
Hatutavumilia vitendo vyovyote vinavyochochea machafuko na mifarakano nchini – R...
Sep 17, 2024
Tanzania Yazuia Tani 216 za Kemikali Hatari kwa Tabaka la Ozoni
Sep 17, 2024
Rais Dkt. Mwinyi Atoa Rai kwa ZRCP Kuanzisha Mfumo Wezeshi Kwenye Biashara Zinaz...
Sep 17, 2024
Mwanza Yaja na Kliniki ya Ardhi Kata kwa Kata Kuwafikia Watu Kwenye Maeneo Yao
Sep 13, 2024
Nishati Safi ya Kupikia ni Ajenda ya Kuokoa Maisha ya Watu - Dkt. Biteko
Sep 13, 2024
Waziri Kijaji Akutana na Kamisheni ya Tabianchi ya Bonde la Congo
Sep 13, 2024
Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Giza
Mwanga
Chaguo Msingi
Marekebisho ya Maandishi
Ndogo
Kawaida
Kubwa