Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa pamoja na viongozi walioshiriki katika Kilele cha Mdahalo wa Kitaifa Baraza la Watu Wanaoishi na Virusi vya Ukimwi Tanzania (NACOPHA) wakiimba wimbo wa taifa kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Jakaya Kikwete jijini Dodoma, Septemba 7, 2023. Baadhi ya washiriki wa Kilele cha Mdahalo wa Kitaifa Baraza la Watu Wanaoishi na Virusi vya Ukimwi Tanzania (NACOPHA) wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Jakaya Kikwete jijini Dodoma, Septemba 7, 2023.Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipomuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Kilele cha Mdahalo wa Kitaifa wa Baraza la Watu Wanaoishi na Virusi vya Ukimwi ( NACOPHA) uliofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Jakaya Kikwete jijini Dodoma, Septemba 7, 2023.
Giza
Mwanga
Chaguo Msingi
Ndogo
Kawaida
Kubwa