Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Uchaguzi Mbarali na Kata Sita Waendelea kwa Amani na Utulivu
Sep 19, 2023
Uchaguzi Mbarali na Kata Sita Waendelea kwa Amani na Utulivu
Mpiga Kura mwenye mahitaji maalum akisaidiwa kuingia katika kituo cha kupigia kura ili aweze kutimiza haki yake ya kumchagua Kiongozi anayemtaka katika kituo cha kupigia kura cha Ofisi ya Kata Na.2, katika Kata ya Mfaranyaki Halmashauri ya Manispaa ya Songea, leo tarehe 19/09/2023.
Na Mwandishi Wetu

 

 

 

Wapige Kura wakiendelea kujitokeza kwenye vituo vya kupiga kura katika maeneo mbalimbali kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Mbarali na Udiwani katika kata sita za Tanzania bara ambao unafanyika Leo Jumanne,  Septemba 19,  2023.

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi