Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais Samia Afungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Makao Makuu, Makamanda wa Polisi wa Mikoa pamoja na Wakuu wa Vikosi Jijini Dar es Salaam.
Sep 04, 2023
Rais Samia Afungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Makao Makuu, Makamanda wa Polisi wa Mikoa pamoja na Wakuu wa Vikosi Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi wa Jeshi la Polisi mara baada ya kuwasili kwenye Bwalo la Maafisa wa Polisi (Police Officer’s Mess) Oysterbay Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Septemba, 2023.
Na Ikulu

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi