Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais Samia Akutana na Kufanya Mazungumzo na Rais Mstaafu wa Nigeria, Olesugun Obasanjo na Mshauri wa Mwanamfalme wa Saudi Arabia
Sep 04, 2023
Rais Samia Akutana na Kufanya Mazungumzo na Rais Mstaafu wa Nigeria, Olesugun Obasanjo na  Mshauri wa Mwanamfalme wa Saudi Arabia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais Mstaafu wa Nigeria, Mhe. Olesugun Obasanjo ambaye pia ni Balozi wa Taasisi ya Kimataifa ya Kilimo (International Institute of Tropical Agriculture), Ikulu jijini Dar es Salaam, tarehe 4, Septemba 2023.
Na Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais Mstaafu wa Nigeria, Mhe. Olesugun Obasanjo ambaye pia ni Balozi wa Taasisi ya Kimataifa ya Kilimo (International Institute of Tropical Agriculture) pamoja na Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (kulia), Ikulu jijini Dar es Salaam, tarehe 4, Septemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais Mstaafu wa Nigeria, Mhe. Olesugun Obasanjo ambaye pia ni Balozi wa Taasisi ya Kimataifa ya Kilimo (International Institute of Tropical Agriculture), Ikulu jijini Dar es Salaam, tarehe 4, Septemba 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais Mstaafu wa Nigeria, Mhe. Olesugun Obasanjo pamoja na ujumbe wa  Taasisi ya Kimataifa ya Kilimo (International Institute of Tropical Agriculture), Ikulu jijini Dar Es Salaam, tarehe 4, Septemba, 2023.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mshauri wa Mwanamfalme na Waziri Mkuu wa Saudi Arabia, Mhe. Ahmed Bin Abdulaziz Kattan, Ikulu jijini Dar es Salaam, tarehe 4, Septemba 2023.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mshauri wa Mwanamfalme na Waziri Mkuu wa Saudi Arabia, Mhe. Ahmed Bin Abdulaziz Kattan na ujumbe wake, Ikulu jijini Dar Es Salaam, tarehe 4, Septemba 2023.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi