Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais Dkt. Mwinyi Akutana na Mwakilishi Mkaazi wa Benki ya Dunia Nchini Tanzania
Oct 27, 2023
Rais Dkt. Mwinyi Akutana na Mwakilishi Mkaazi wa Benki ya Dunia Nchini Tanzania
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi (katikati) akisalimiana na Mwakilishi Mkaazi wa Benki ya Dunia hapa Tanzania ambae pia anawakilisha Malawi, Zambia na Zimbabwe, Bw. Nathan M. Belete alipofika Ikulu jijini Zanzibar leo wakiwepo na Uongozi wa Wizara ya Fedha na Mipango.
Na Administrator

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi (katikati) akimsikiliza Mwakilishi Mkaazi wa Benki ya Dunia hapa Tanzania ambae pia anawakilisha Malawi, Zambia na Zimbabwe, Bw. Nathan M. Belete (wa pili kushoto) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo wakiwepo na Uongozi wa Wizara ya Fedha na Mipango (wa pili kulia) Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Saada Mkuya Salum na katibu Mkuu, Dkt. Juma Malik Akil.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Mwakilishi Mkaazi wa Benki ya Dunia hapa Tanzania ambae pia anawakilisha Malawi, Zambia na Zimbabwe, Bw. Nathan M. Belete , Bw. Nathan M. Belete (kushoto) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimsikiliza Mwakilishi Mkaazi wa Benki ya Dunia hapa Tanzania ambae pia anawakilisha Malawi, Zambia na Zimbabwe, Bw. Nathan M. Belete (wa pili kulia) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo wakiwepo na Uongozi wa Wizara ya Fedha na Mipango (kulia) Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Saada Mkuya Salum 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiagana na Mgeni wake Mwakilishi Mkaazi wa Benki ya Dunia hapa Tanzania ambae pia anawakilisha Malawi, Zambia na Zimbabwe, Bw. Nathan M. Belete  baada ya mazungumzo yao leo alipofika Ikulu Jijini Zanzibar 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi