Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Msemaji Mkuu wa Serikali Atembelea PSSSF
Nov 01, 2023
Msemaji Mkuu wa Serikali Atembelea PSSSF
Mkurugenzi wa Idara ya Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Mobhare Matinyi (kulia) akizungumza na Bw. James Mloe, Meneja Uhusiano na Elimu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) (aliyenyanyua mkono). Kushoto kwa Mkurugenzi Matinyi ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara hiyo, Rodney Thadeus na kulia kwa Bw. Mloe ni Afisa Habari Mwandamizi wa Mfuko huo, Abdul Njaidi
Na Mwandishi Wetu - Dodoma

Mkurugenzi wa Idara ya Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Mobhare Matinyi atembelea Makao Makuu ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) jijini Dodoma ambapo amekutana na Bw. James Mloe, Meneja Uhusiano na Elimu kwa Umma wa Mfuko huo.

Bw. Matinyi ametembelea PSSSF kwa lengo la kujifunza na kuelewa shughuli mbalimbali zinazofanywa na mfuko huo.

Aidha, hili ni zoezi endelevu ili kuweza kupata taarifa mbalimbali za kimaendeleo na mafanikio ya PSSSF kwa lengo la kuisemea Serikali na kuwafikia watanzania.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi