Tuvuti Kuu
Mrejesho
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO
Matukio katika Picha: Msemaji Mkuu wa Serikali Azindua Studio za BBC kwa Ofisi za Tanzania
Mar 08, 2024
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Mobhare Matinyi, leo Machi 8, 2024 amemuwakilisha Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye katika uzinduzi wa studio za kidijitali za Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kwa ofisi za Tanzania uliofanyika katika ofisi zilizopo Mikocheni jijini Dar es salaam.
Na Paschal Dotto-Maelezo
Habari Mpya
Hatutavumilia vitendo vyovyote vinavyochochea machafuko na mifarakano nchini – R...
Sep 17, 2024
Tanzania Yazuia Tani 216 za Kemikali Hatari kwa Tabaka la Ozoni
Sep 17, 2024
Rais Dkt. Mwinyi Atoa Rai kwa ZRCP Kuanzisha Mfumo Wezeshi Kwenye Biashara Zinaz...
Sep 17, 2024
Mwanza Yaja na Kliniki ya Ardhi Kata kwa Kata Kuwafikia Watu Kwenye Maeneo Yao
Sep 13, 2024
Nishati Safi ya Kupikia ni Ajenda ya Kuokoa Maisha ya Watu - Dkt. Biteko
Sep 13, 2024
Waziri Kijaji Akutana na Kamisheni ya Tabianchi ya Bonde la Congo
Sep 13, 2024
Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Giza
Mwanga
Chaguo Msingi
Marekebisho ya Maandishi
Ndogo
Kawaida
Kubwa