Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Majaliwa Atembelea Soko la Wamachinga Mbauda na Kilombero Arusha
May 24, 2022
Na Jacquiline Mrisho

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea soko la Wamachinga la Mbauda jijini Arusha, Mei 24, 2022.   Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella na wa tatu kushoto Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi