Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo Yakutana Dodoma
Oct 21, 2022
Na Jacquiline Mrisho

Na Mwandishi wetu- Dodoma

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga  amepokea jedwali la hoja za Kamati ya Sheria Ndogo kuhusu Sheria zilizowasilishwa katika Gazeti la Serikali katika mkutano wa (8) wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mhe. Ummy amepokea jedwali hilo katika kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo kilichofanyika Oktoba 21, 2022 katika ukumbi wa mikutano Bungeni Jijini Dodoma.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi