Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Dkt. Ndumbaro Atembelea Ofisi za CAF Misri
Sep 25, 2023
Dkt. Ndumbaro Atembelea Ofisi za CAF Misri
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Ndg. Veron Mosengo-Omba mara baada ya kufanya mazungumzo katika Makao Makuu ya Shirikisho hilo Cairo Misri Septemba 25, 2023.
Na Administrator

Mazungumzo yao yamehudhuriwa na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, Wallace Karia na Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa, Bi. Neema Msitha na viongozi wengine wa TFF.

 

 

 

 

 

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi