
Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa katikati akikagua shughuli ya usafirishaji wa mbolea kwenda mikoani kutoka katika ghala la Mohamed Interprises lililopo Mbagala. kushoto kwa Waziri Mkuu ni Waziri wa Kilimo Dkt. Charles Tizeba na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Mohamed Interprises. Mohamed Dewji.Waziri Mkuu amefanya ukaguzi huo leo Mkoani Dar es salaam.
*Aitaka TFC kuwa na mikakati madhubuti
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na usafirishaji wa mbolea kutoka wa wasambazaji wa pembejeo nchini kwenda kwa wakulima.
Pia ameitaka Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) kuwa na mikakati madhubuti itakayowezesha upatikanaji wa mbolea kwa wakati wote nchini.
Ametoa kauli hiyo leo (Jumatano, Januari 10, 2018) wakati akikagua usafirishaji wa mbolea kwenye maghala makubwa matatu jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu amesema Serikali inahitaji kuona wakulima wote nchini wanapata pembejeo za kilimo ikiwemo mbolea kwa wakati ili kilimo kiweze kuwaletea tija.
Amesema TFC inatakiwa ianze maandalizi ya usambazaji wa mbolea mapema kwani Serikali inataka wakulima wapate pembejeo miezi miwili kabla ya kuanza kwa msimu.
Wakati huo huo, Waziri Mkuu amemtaka Waziri wa Kilimo Dkt. Charles Tizeba akutane na wadau na kufanya mapitio ya gharama za usafirishaji wa mbolea.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. kushoto akiongea na Waziri wa Viwanda na Biashara (kulia). Charles Mwijage na Waziri wa Kilimo (katikati) Dkt. Charles Tizeba pamoja na Maofisa wa JWTZ wakati alipo tembelea Kikosi cha 95KJ kinachosafirisha mbolea kwenda mikoani
Amesema lengo la mapitio hayo ni kuhakikisha mkulima aliyeko kijijini anapata mbolea hiyo kwa gharama nafuu bila ya kumuathiri mfanyabiashara.
Pia amemtakaDkt. Tezeba ashirikiane na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dkt. Mwigulu Nchemba ili kuhakikisha malori yanayobeba mbolea yanafika katika mikoa husika kwa wakati.
Hata hivyo, Waziri Mkuu amemuagiza Waziri wa Kilimo awasiliane na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbawala ili malori yanayobeba mbolea yakifika kwenye vituo vya mizani yapewe kipaumbele.
“Si kwamba yaongeze uzito hapana, bali yapewe kipaumbele cha kupima haraka ili yaweze kuwahisha mbolea kwa wakulima kwani tayari msimu umeshaanza.”
Naye Waziri wa Kilimo, Dkt. Tizeba alisema watahakikisha mbolea ya kutosha inakuwepo nchini na kwamba wakulima wote wanaipata kwa wakati na kwa gharama nafuu.
Maghala aliyoyakagua Waziri Mkuu ni ghala la Mohammed Enterprises lililoko Mbagala, ghala la Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) lililoko Kurasini na ghala la Premium lililoko Vingunguti ambako kote amekuta malori yakipakia mbolea kwa ajili ya uisafirisha katika mikoa mbalimbali nchini.
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU
JUMATANO, JANUARI 10, 2018.
Im obliged for the post.Much thanks again. Really Great.
Whoa! This blog looks just like my old one! It as on a entirely different subject but it has pretty much the same page layout and design. Great choice of colors!
you have a great weblog right here! would you prefer to make some invite posts on my blog?
Lovely just what I was searching for. Thanks to the author for taking his clock time on this one.
you have an incredible weblog here! would you prefer to make some invite posts on my blog?
This page truly has all the information I wanted about this subject and didn at know who to ask.
we could greatly benefit from each other. If you might be interested feel free to send me an
Is there a mint app for UK people that links into your bank? Thanks
is happening to them as well? This might
It is really a nice and useful piece of info. I am glad that you shared this helpful information with us. Please keep us up to date like this. Thanks for sharing.
You are my intake , I have few web logs and rarely run out from to post.
Say, you got a nice article.Much thanks again. Will read on
I truly appreciate this post. I ave been looking everywhere for this! Thank goodness I found it on Bing. You ave made my day! Thx again.
You made some clear points there. I did a search on the subject and found most persons will go along with with your blog.
I value the blog article.Much thanks again. Great.
There is visibly a bunch to realize about this. I feel you made various nice points in features also.
Wow, amazing blog layout! How long have you been blogging for? you make blogging look easy. The overall look of your web site is excellent, as well as the content!
Wonderful website. Plenty of helpful info here. I am sending it to a few buddies ans also sharing in delicious. And obviously, thank you on your sweat!
Thankyou for helping out, great info.
Thank you for your post.Thanks Again. Awesome.
Very good article. I am dealing with a few of these issues as well..
Modular Kitchens have changed the idea of kitchen these days because it has provided household women with a comfortable yet an elegant place through which they can spend their quality time and space.
Rattling clean site, thankyou for this post.
Thanks-a-mundo for the blog article.Thanks Again. Keep writing.
Looking forward to reading more. Great article post.Much thanks again. Awesome.
There is definately a great deal to learn about this issue. I like all of the points you made.
Very good info. Lucky me I came across your blog by chance (stumbleupon). I ave bookmarked it for later!
Say, you got a nice blog.Really thank you! Will read on
Looking around I like to look around the online world, regularly I will go to Digg and follow thru
It as hard to find educated people in this particular subject, but you sound like you know what you are talking about! Thanks
This is really interesting, You certainly are a very qualified blogger. I possess joined your rss and enjoy seeking more of one as fantastic post. Also, I have got shared your blog in my myspace!
I truly appreciate this post.Really thank you! Much obliged.
You made some decent points there. I checked on the net to find out more about the issue and found most individuals will go along with your views on this site.
Say, you got a nice post.Really thank you! Keep writing.
Really informative post.Really looking forward to read more. Want more.
Just Browsing While I was surfing today I noticed a excellent article about
If a man does not make new acquaintances as he advances through life, he will soon find himself alone. A man should keep his friendships in constant repair.
Wow, incredible blog layout! How long have you been blogging for? you made blogging look easy. The overall look of your site is fantastic, let alone the content!
You, my pal, ROCK! I found exactly the information I already searched everywhere and just couldn at locate it. What an ideal web-site.
Keep up the good piece of work, I read few articles on this site and I believe that your web blog is really interesting and holds lots of wonderful information.
It as difficult to find experienced people for this subject, but you seem like you know what you are talking about! Thanks
Thanks for helping out, excellent info. The surest way to be deceived is to think oneself cleverer than the others. by La Rochefoucauld.
Im no pro, but I imagine you just crafted the best point. You undoubtedly know what youre talking about, and I can really get behind that. Thanks for being so upfront and so truthful.
This excellent website really has all the info I needed concerning this subject and didn at know who to ask.
Really appreciate you sharing this article post.Much thanks again. Much obliged.
the home of some of my teammates saw us.
You should take part in a contest for one of the best blogs on the web. I will recommend this web site!
Major thankies for the blog article. Fantastic.
Thanks-a-mundo for the article post. Really Cool.
Just Browsing While I was browsing yesterday I noticed a great article concerning
Well I sincerely liked studying it. This information procured by you is very effective for correct planning.