
Mkuu wa Chuo cha Sayansi ya Ardhi (CoES), Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Prof. William Mwegoha akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu kuhusu Usimamizi wa Kemikali kwa wahitimu wa masomo ya Shahada ya Sayansi ya Madini na Uchakataji Madini(Bsc. MMPE) jana jijini Dodoma. Mafunzo hayo yameandaliwa na kuratibiwa na Maafisa kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Kanda ya Kati Dodoma.

Meneja wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali, Kanda ya Kati Dodoma, Mussa Kuzumila akiwasilisha mada kuhusu majukumu ya Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu kuhusu Usimamizi wa Kemikali kwa wahitimu wa masomo ya Shahada ya Sayansi ya Madini na Uchakataji Madini(Bsc. MMPE) wa Chuo cha Sayansi ya Ardhi (CoES –UDOM) jana jijini Dodoma. Mafunzo hayo yameandaliwa na kuratibiwa na Maafisa kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Kanda ya Kati Dodoma.

Mkemia toka Ofisi za Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali Kanda ya Kati Dodoma, Bi. Tupeligwe Mwaisaka akiwasilisha mada wakati wa mafunzo ya siku tatu kuhusu Usimamizi wa Kemikali kwa wahitimu wa masomo ya Shahada ya Sayansi ya Madini na Uchakataji Madini(Bsc. MMPE) jana jijini Dodoma. Mafunzo hayo yameandaliwa na kuratibiwa na Maafisa kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Kanda ya Kati Dodoma.

Mmoja wa washiriki wa mafunzo kuhusu Usimamizi wa Kemikali kwa wahitimu wa masomo ya Shahada ya Sayansi ya Madini na Uchakataji Madini (Bsc. MMPE) toka Chuo Kikuu cha Dodoma (CoES – UDOM) akichangia mada wakati wa mafunzo hayo jana jijini Dodoma. Mafunzo hayo yameandaliwa na kuratibiwa na Maafisa kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Kanda ya Kati Dodoma.

Mmoja wa washiriki wa mafunzo kuhusu Usimamizi wa Kemikali kwa wahitimu wa masomo ya Shahada ya Sayansi ya Madini na Uchakataji Madini (Bsc. MMPE) toka Chuo Kikuu cha Dodoma (CoES – UDOM) ambaye pia ni Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili ya Sayansi katika Utafutaji Madini Msc. ME, Bi. Dafroza Lyimo akichangia mada wakati wa mafunzo hayo jana jijini Dodoma. Mafunzo hayo yameandaliwa na kuratibiwa na Maafisa kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Kanda ya Kati Dodoma.

Meneja wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali, Kanda ya Kati Dodoma, Mussa Kuzumila akiagana na Mkuu wa Chuo cha Sayansi ya Ardhi (CoES), Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Prof. William Mwegoha mara baada ya ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu kuhusu Usimamizi wa Kemikali kwa wahitimu wa masomo ya Shahada ya Sayansi ya Madini na Uchakataji Madini(Bsc. MMPE) wa Chuo cha Sayansi ya Ardhi (CoES –UDOM) jana jijini Dodoma. Mafunzo hayo yameandaliwa na kuratibiwa na Maafisa kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Kanda ya Kati Dodoma.

Mkuu wa Chuo cha Sayansi ya Ardhi (CoES), Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Prof. William Mwegoha (wa sita toka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mafunzo ya siku tatu kuhusu Usimamizi wa Kemikali kwa wahitimu wa masomo ya Shahada ya Sayansi ya Madini na Uchakataji Madini(Bsc. MMPE) ) toka Chuo Kikuu cha Dodoma (CoES – UDOM) jana jijini Dodoma. Mafunzo hayo yameandaliwa na kuratibiwa na Maafisa kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Kanda ya Kati Dodoma. (Picha na: Frank Shija – MAELEZO, Dodoma).
Pingback: Buy cheap generic viagra
Pingback: cheap cialis
Pingback: cialis for sale
Pingback: cialis 20 mg price
Pingback: Buy pfizer viagra online
Pingback: is there a generic cialis
Pingback: cialis 20 mg price walmart
Pingback: cialis without a doctor prescription
Pingback: price of cialis
Pingback: viagra 100mg
Pingback: viagra generic
Pingback: erectile dysfunction medications
Pingback: medicine for erectile
Pingback: ed meds online without doctor prescription
Pingback: online pharmacy
Pingback: Real cialis online
Pingback: vardenafil online pharmacy
Pingback: online vardenafil
Pingback: casino
Pingback: casino
Pingback: viagra coupon
Pingback: slot machines
Pingback: online slots real money
Pingback: tadalafil 10mg
Pingback: personal loans
Pingback: cash loans
Pingback: installment loans
Pingback: viagra prescription
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: australia casino online paypal
Pingback: ocean casino online nj
Pingback: new cialis
Pingback: generic for cialis
Pingback: legalizing online gambling in texas
Pingback: casino slot
Pingback: casino games
Pingback: generic viagra 100mg
Pingback: sildenafil vs tadalafil
Pingback: gambling games