FURSA ZA UFADHILI WA MASOMO
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imepokea fursa za ufadhili wa masomo katika kozi mbalimbali kutoka Serikali ya Saudi Arabia.
Mafunzo hayo yatatolewa katika Chuo Kikuu cha Imam Abdulrahman bin Faisal kilichopo Saudi Arabia. Taarifa kamili kuhusu ufadhili, kozi na taratibu zote za namna ya kuomba zinapatikana kupitia tovuti ya Chuo hicho www.iau.edu.sa
Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje Na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,
Dar es Salaam
12 Julai, 2018
Pingback: cialis cost
Pingback: Buy viagra no prescription
Pingback: Buy pfizer viagra online
Pingback: cialis from canada
Pingback: viagra 50mg
Pingback: walmart pharmacy
Pingback: Buy cheap cialis
Pingback: vardenafil canada
Pingback: levitra usa
Pingback: play casino online
Pingback: online casino real money usa
Pingback: personal loan
Pingback: online casinos for usa players
Pingback: live online european roulette
Pingback: best casino usa
Pingback: high limit live roulette