
Waziri wa Nchi – Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu masuala ya uwekezaji alipokutana nao wakati wa kongamano la kujadili masuala hayo kwa wawekezaji wa Kimarekani, kulia kwake ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi, kushoto kwake ni Kaimu Balozi wa Marekani Nchini Dkt. Inmi Patterson.
Na.Mwandishi Wetu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji Mhe. Angellah Kairuki amewahakikishia wawekezaji kutoka Marekani uwepo wa mazingira rafiki ya uwekezaji nchini kwa kuzingatia mchango wao katika masuala ya uwekezaji.
Ametoa kauli hiyo wakati akifungua kongamano la siku moja la kujadili masuala ya kuboresha mazingira ya biashara pamoja na uwekezaji nchini lililofanyika tarehe 17 Juni, 2019 katika Ukumbi wa mikutano wa Hyatt Jijini Dar es Salaam.
Mazungumzo hayo yaliyolenga kujadili changamoto zinazowakabili na kujadili namna bora ya kukabiliana nazo na hatua mahsusi ambazo Serikali imeendelea kuzichukua ili kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji.
Kongamano hilo limeandaliwa na Ubalozi wa Marekani kwa kushirikiana na Chemba ya Wafanyabiashara wa Kimarekani nchini Tanzania na kuhusisha wawakilishi wa Kampuni 47 kati ya 238 za Kimarekani na kuhudhuriwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Profesa Palamagamba Kabudi, Maafisa Waandamizi wa Serikali ya Tanzania, Wawakilishi wa Ubalozi wa Marekani pamoja na Wanachama wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Kimarekani.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akihutubia wakati wa ufunguzi wa Kongamano hilo.
Waziri Kairuki alieeleza nia ya Serikali ni kuendelea kuwa na mazingira wezeshi yanayowavutia wawekezaji nchini katika kuendelea kuchangamkia fursa zilizopo na kupokea maoni yao ili kutatua changamoto wanazokumbana nazo.
“Serikali itaendelea kuweka mkazo mkubwa wa maboresho katika maeneo mbalimbali yatakayo kuvutia wawekezaji ikiwani pamoja na uboreshwaji wa sekta ya mawasilino, miundombiu ya barabara na usafirishaji ili kuwa na mazingira mazuri ya wawekezaji kuja kuwekeza nchini,”alisema Waziri Kairuki.
Aliongeza kuwa ifikapo mwezi Julai mwaka huu, serikali itaanza kutekeleza Mpango Kazi wa Uboreshaji wa Mazingira ya Biashara na Uwekezaji ambao tayari umefanyiwa maboresho na utekelezaji wake utaanza mapema mwaka ujao wa fedha wa 2019/ 2020.
Aidha waziri aliahidi kuendelea kusimamia maeneo muhimu ikiwemo ushiriki wa sekta binafsi katika maeneo ya uwekezaji na kueleza maboresho haya yatatekeleza hasa katika kuboresha mifumo na kuwa na maziringa mazuri yanayotabirika kwa wawekezaji.
“Kwa kutambua umuhimu wa Sekta binafsi, tutaendelea kusimamia ushiriki wao kikamilifu ili kuleta tija pasipo kubagua sekta hiyo na kuendelea kuwa na mifumo inayotabirika kwa ajili ya wawekezaji.
Naye Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi alifafanua kuwa, jitihada za Serikali ni kuhakikisha kunakuwa na mahusiano mazuri ya kidiplomasia baina ya nchi hizo mbili kwa kuzingatia zote zinategemeana katika masuala hayo ya uwekezaji.

Waziri wa Nchi – Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki (Mb) pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Profesa Palamagamba Kabudi wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa kongamano hilo, wa pili kutoka kushoto waliokaa ni Kaimu Balozi wa Marekani Nchini Dkt. Inmi Patterson.
“Kimsingi tunapaswa kuwa na uelewa wa pamoja kuwa, Tanzania na Marekani zinategemeana katika masuala haya ya uwekezaji kwani mnatuhijai na sisi tunawahitaji hivyo lazima tukae meza moja na kuyajenga endapo tunaona kuna maeneo ya kuboresha yenye tija ya kuendeleza mahusiano mazuri yaliyopo ni vyema tukayafanyia kazi pamoja”, Alisistiza Profesa Kabudi.
Kwa upande wake Kaimu Balozi wa Marekani nchini Dkt. Inmi Patterson katika hotuba yake ya ufunguzi alieleza kuwa, majadiliano hayo ni mwanzo mzuri wa kuendelea kutekeleza mabadiliko ya kisera yatakayosaidia kuongeza uwazi na mazingira rafiki ya ufanyaji wa biashara nchini.
“Majadiliano ya leo ni mwanzo wa utekelezaji wa mabadiliko ya kisera yatakayoongeza uwazi na kuboresha mazingira ya kufanya biashara na tunaunga mkono jitihada hizi za Serikali ya Tanzania kwa kuzingatia mahusiano mazuri yaliyopo sasa,”Alieleza Kaimu Balozi Patterson.
Aliongezea kuwa Serikali ya Marekani itaendelea kuunga mkono ushiriki wa sekta binafsi katika jitihada za maendeleo nchini humo kupitia ubia kati ya sekta binafsi na sekta ya umma (Public private partnerships) ambao utaimarisha mazingira ya kibiashara na ubunifu ambao utanufaisha Wananchi wa Tanzania.
Aidha alieleza kuwa nchi yake imeendelea kuwa mstari wa mbele katika uwekezaji, kwa kuzingatia Takwimu za Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Wafanyabiashara wa Kimarekani wamewekeza zaidi ya Dola za Kimarekani bilioni 4.7 nchini Tanzania na kuzalisha takriban nafasi za ajira 52,000 katika kipindi cha miaka 28 nchini kote Tanzania.
Pingback: viagra for sale
Pingback: viagra 50mg
Pingback: buy ed pills
Pingback: men's ed pills
Pingback: non prescription erection pills
Pingback: sale cialis
Pingback: canadian online pharmacy
Pingback: Buy cheap cialis
Pingback: vardenafil usa
Pingback: vardenafil for sale
Pingback: levitra 10 mg
Pingback: online casino real money usa
Pingback: free slots online
Pingback: generic cialis tadalafil
Pingback: installment loans
Pingback: cash payday
Pingback: short term loans
Pingback: viagra cost
Pingback: cialis internet
Pingback: new cialis
Pingback: cialis generic
Pingback: online casino gambling
Pingback: cialis coupon
Pingback: tadalafil cialis
Pingback: cialis 20mg
Pingback: online casino usa
Pingback: when to buy viagra
jueriy.com https://www.jueriy.com/
cialis 5mg online kaufen
https://cialisaaap.com/
mail order ciprofloxacin Situg Kig
Hi I am so happy I found your web site, I really found
you by mistake, while I was searching on Yahoo for something
else, Anyhow I am here now and would just like to say thanks a lot for a incredible post and
a all round exciting blog (I also love the theme/design), I don’t have time to browse it all at the moment but I have book-marked it and also included your RSS
feeds, so when I have time I will be back to read a great
deal more, Please do keep up the fantastic work. http://cleckleyfloors.com/
My family members all the time say that I am wasting
my time here at web, but I know I am getting familiarity everyday by reading thes pleasant
articles. http://www.bee-rich.com/
Pingback: allergic reaction to cialis
cialis vs generic cialis
buy cialis india
best price viagra levitra Situg Kig
cephalexin keflex 500 mg oral capsule https://keflex.webbfenix.com/
where can i buy a viagra
buy daily cialis
do you need prescription to buy viagra in australia Situg Kig
cialis tabletta ara
buy viagra with echeck
viagra generico mexico precio Situg Kig
best drugstore setting spray corner drug store pharmacies near me
free dating online,free dating
online dating emancipate
free dating sites
canadian pharmacy cialis mexican pharmacy online pharmacy online
free online dating,free online dating
set free dating sites
online dating free
cialis from canada
viagra soft tabs 100mg
viagra 100mg dose effect Situg Kig
Hello fantastic blog! Does running a blog such as this take a large amount of work? I have absolutely no understanding of programming but I was hoping to start my own blog in the near future. Anyhow, should you have any ideas or tips for new blog owners please share. I understand this is off subject however I just wanted to ask. Thanks!|
free dating site,dating sites
online dating free,free dating site http://freedatingste.com/
publix pharmacy online ordering safe canadian online pharmacies my canadian pharmacy
cialis 5 mg india
viagra cape town
can you buy lithium carbonate over the counter Situg Kig
vardenafil 20mg india manufacturer https://vegavardenafil.com/ levitra generic vardenafil
50mg viagra health
viagra samples for women
buy generic viagra professional online Situg Kig
tadalafil pills https://elitadalafill.com/ tadalafil 40 mg from india
where can i buy periactin pills
viagra kidney stones
viagra order for canada Situg Kig
chat websites to meet people
best free dating site for serious relationships
about levitra reviews
buy deltasone prednisone
generic cialis from india thailand Situg Kig