Baadhi ya Viongozi na Wahadhiri wa Chuo cha Usimamizi wa Kodi wakiongozwa na kikosi cha bendi cha Jeshi la Polisi kuingia katika ukumbi wa Multipurpose katika Chuo hicho wakiwa tayari kuanza mahafali ya 10 ya Chuo hicho yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Novemba 18, 2017.
Na Ismail Ngayonga
SERIKALI kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imesema itaendelea kukijengea uwezo Chuo cha Usimamizi wa Kodi Nchini (ITA) ili kuhakikisha kuwa Chuo hicho kinazalisha Wataalamu bora wenye kukidhi mahitaji ya soko la ndani na nje ya nchi.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es Salaam na Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Dkt. Yamungu Kayandabila wakati wa mahafali ya kumi cha Chuo cha Kodi Nchini na kuongeza kuwa malengo ya Serikali ni kuhakikisha kuwa Chuo hicho kinazalisha wataalamu wenye umahiri katika masuala ya forodha na kodi.
Dkt. Kayandabila alisema Serikali inatambua umuhimu wa Chuo hicho kwa ustawi wa kiuchumi na kijamii, hivyo kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) itaendelea kukipangia Chuo hicho bajeti ya maendeleo ili kukithi matumizi yake ya kimaendeleo ikiwemo kufanya tafiti kwa kiwango kinachohitajika.
Baadhi ya wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Kodi wakiongozwa na kikosi cha bendi cha Jeshi la Polisi kuingia katika ukumbi wa Multipurpose katika Chuo hicho wakiwa tayari kuanza mahafali ya 10 ya Chuo hicho yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Novemba 18, 2017.
“Serikali itaendelea kushirikiana na Chuo cha Kodi kupitia Mamlaka ya Mapato kwa kuhakikisha kuwa mipango yenu hususani Mpango Mkakati wa Nne unaoanza kutekelezwa mwaka 2017/18 unatekelezwa kikamilifu kwa kuwapatia hosteli mpya za wanafunzi, upanuzi wa majengo ya ofisi za wakufunzi na ujenzi wa kampasi mpya ya Misugusugu Kibaha Mkoani Pwani” alisema Dkt. Kayandabila.
Pamoja na mafanikio mbalimbali yaliyofikiwa na Chuo hicho, Dkt. Kayandabuila aliutaka Uongozi wa Chuo hicho kuendelea kujiimarisha katika utafiti na kutoa mafunzo katika masuala ya kodi hususani sekta ya uchimbaji madini, mafuta na gesi na sekta ya fedha ili kusaidia kuongeza makusanyo ya mapato katika sekta hizo.
Akifafanua zaidi Kayandabila alisema utafiti katika sekta za madini, mafuta na gesi utasaidia kuunga mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya Tano kwa kukuza mapato ya ndani na kuongeza uwezo wa Serikali kutoa huduma za kijamii na kusimamia viwanda.
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Kodi (ITA) pichani wakifuatilia hotuba zilizokuwa zikitolewa na wageni mbalimbali waliohudhuria mahafahali ya 10 ya Chuo hicho yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Novemba 11, 2017.
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Kodi (ITA) pichani wakifuatilia hotuba zilizokuwa zikitolewa na wageni mbalimbali waliohudhuria mahafahali ya 10 ya Chuo hicho yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Novemba 11, 2017.
Kwa upande wake Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Charles Kicheere alisema Serikali imejipanga kuhakikisha kuwa Chuo hicho kinazalisha Wataalamu bora wa forodha na kodi pamoja na kupanua wigo wa ushirikiano na mataifa ya nje ikiwemo Botswana, Kenya, Burundi na Sudan Kusini.
“Lengo letu ni kuhakikisha kuwa ITA kinazalisha wataalamu bora sambamba na kuendelea kuwa kuwa na Chuo cha Umahiri kama tulivyopendekezwa na Sekretarieti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki,” alisema Kicheere.
Naye Mkuu wa Chuo hicho, Prof. Isaya Jairo alisema tangu Chuo kilipopata usajili kutoka Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) wameweza kutoa kudahili wanafunzi 6000, ambapo ili kupanua wigo wa masomo ya forodha na kodi, Chuo hicho kimepanga kushirikiana na vyuo mbalimbali vya nje ya nchi.
azithromycin 250mg https://azithromycinx250.com/
buy hydroxychloroquine https://chloroquine1st.com/
Pingback: overnight canadian viagra
sildenafil 20 mg https://mymvrc.org/
Pingback: Viagra 200mg coupon
Pingback: cost of Viagra 200mg
Pingback: cost of Viagra 150 mg
Pingback: buy lexapro 5 mg
Kudos. Plenty of advice., kamagra oral jelly https://kamagrahome.com kamagra oral jelly kaufen deutschland
http://www.loansonline1.com payday loans payday advance
Pingback: slot machines
Pingback: casino real money
Pingback: cheap wellbutrin 150 mg
Pingback: cost of zocor
Pingback: sildenafil for sale
https://vardenafilz.com
Pingback: how to buy fexofenadine
Pingback: anastrozole medication
Thanks. Quite a lot of postings. viagra pills
bananas and blood pressure viagra
Pingback: cheap clonidine
Pingback: ciprofloxacin online pharmacy
http://canadian2pharmacy.com
Pingback: prochlorperazine 5 mg over the counter
http://canadian2pharmacy.com
Pingback: divalproex 250 mg usa
como funciona el viagra masculino https://viagwithoutdoctor.com/
Pingback: venlafaxine otc
https://ycialisy.com – headaches with cialis side effects
https://cialiswlmrt.com cialis efectos secundarios largo plazo
https://cialis20walmart.com cialis interacciones medicamentosas
Pingback: clotrimazole usa
farmacia de guardia sada http://essinreceta.com/ precio cialis 10 mg
faultless post, i like it
Pingback: metoclopramide 10mg canada
propecia duration treatment https://finasteride1.com/ – finasteride
kamagra gel https://kamagraday.com/# kamagra pas cher
kamagra gel https://kamagraday.com/ buy kamagra gel no perscription
What are the excellent OTC clomid online pills? FertilAid is a man of the foremost during the course of the table fertility drugs because it contains herbal ingredients such as stainless berry (Vitex) and red clover blossom both designed to resist refurbish female and male fertility and take a new lease on life reproductive wellness. Fertilaid is ideal quest of couples who are looking conducive to a non-prescription Clomid to succour conceive.
amazing article, i like it
How much does 100mg of best price canadian viagra no script list cost. Learn more with respect to this soporific here. This is a generic drug. The average get for the benefit of 6 Scratch pad(s), 100mg each of the generic (sildenafil citrate) is $276.99. You can go for viagra without a doctor prescription viagra over the counter us at the discounted price of $21.31 during using the WebMDRx coupon, a savings of 92%.
ivermectin cream https://ivermectinhumans.com/# ivermectin for humans
https://www.cialisay.com/# cialis from india
Is 150 mg order viagra safe. The maximum prescribe of sildenafil recommended on the maker is 100 mg. A over was designed to prospectively reconsideration a association of patients with long-lasting ED, unresponsive to sildenafil 100 mg, who were treated in a poorhouse surroundings with doses of generic viagra from india viagra prices in excess of the recommended upper limit amount (150 mg and 200 mg).
levitra coupon 2017 http://wardenafil.com/# viagra cialis or levitra
Does warranty cover buy cialis online europe. The coverage of ED drugs like cialis online canada pharmacy is typically not covered close federal insurance programs, but they may be covered in specific cases.
https://www.withoutbro.com/ female viagra
viagra from canada http://himpills.com liquid cialis for sale Iqnfqhl does coffee raise your blood pressure