Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 09 Julai, 2019 amezindua Hifadhi ya Taifa ya Burigi-Chato iliyoundwa baada ya kuunganishwa kwa Mapori ya Akiba ya Burigi, Biharamulo na Kimisi yaliyopo katika Wilaya za Biharamulo, Ngara, Karagwe na Muleba Mkoani Kagera na Chato Mkoani Geita.
Hifadhi hiyo inakuwa ni ya 3 kwa ukubwa hapa nchini ikiwa na jumla ya kilometa za mraba 4,702, ikitanguliwa na Hifadhi ya Taifa ya Ruaha (kilometa za mraba 20,300) na Serengeti (kilometa za mraba 14,763).
Sherehe za uzinduzi wa hifadhi hiyo zimefanyika katika Kijiji cha Katete, Wilaya ya Chato Mkoani Geita na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo Mawaziri na Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu, Mabalozi wanaoziwakilisha nchi mbalimbali hapa nchini, Viongozi Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama, Wakuu wa Mikoa na Wilaya, Viongozi wa Dini, Viongozi wa vyama vya siasa na viongozi wa taasisi zilizo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii.
Kabla ya kuzindua hifadhi hiyo Mhe. Rais Magufuli amekagua gwaride la Jeshi Usu la Wanyamapori na Misitu, ameshuhudia Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamis Kigwangallah akiwavalisha vyeo Makamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) na Wakala wa Misitu Tanzania (TFS), amepokea tuzo ya Hifadhi ya Serengeti iliyopata ushindi wa kuwa hifadhi bora Barani Afrika kwa mwaka 2019 na tuzo ya Mlima Kilimanjaro ulioshinda kwa kuwa kivutio bora Barani Afrika kwa mwaka 2017 na pia amekabidhi vyeti kwa wawekezaji 6 waliotayari kuwekeza katika Hifadhi ya Taifa ya Burigi-Chato.
Kabla ya hotuba yake, Mhe. Rais Magufuli aliwataka wote walioshiriki uzinduzi wa hifadhi hiyo kusimama kwa dakika 1 kwa ajili ya kuwakumbuka watu 7 wakiwemo wafanyakazi 5 wa kituo cha Televisheni cha Azam TV waliopoteza Maisha katika ajali ya barabarani iliyotokea jana asubuhi kati ya Igunga (Tabora) na Shelui (Singida) baada ya basi walilokuwa wakisafiria kuja kurusha matangazo ya uzinduzi huo kugongana uso kwa uso la lori la mizigo.
Katika hotuba yake, Mhe. Rais Magufuli ameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii na wadau mbalimbali kwa juhudi kubwa zilizofanyika katika uhifadhi wa maliasili ikiwemo hifadhi za wanyamapori hali iliyowezesha uoto wa asili kurejea na idadi ya Wanyama kuongezeka, wakiwemo Tembo ambao wameongezeka kutoka 43,330 mwaka 2014 hadi zaidi ya 60,000 na Faru ambao wameongezeka kutoka 15 hadi kufikia 167 hivi sasa.
Mhe. Rais Magufuli amesema kuanzishwa kwa Hifadhi ya Taifa ya Burigi- Chato kulikotanguliwa na kutangazwa kwa Pori la Akiba la Ibanda kuwa Hifadhi ya Taifa ya Ibanda-Kyerwa na Pori la Akiba la Rumanyika-Orugundu kuwa Hifadhi ya Taifa ya Rumanyika-Karagwe ni juhudi za Serikali ya Awamu ya Tano za kuendeleza sekta ya uhifadhi na utalii ambapo sasa Tanzania inakuwa na eneo la hifadhi lenye jumla ya kilometa za mraba 361,594 sawa na asilimia 32 ya eneo la nchi nzima na hivyo kuwa nchi yenye eneo kubwa lililohifadhiwa kuzizidi hata nchi ambazo ni kubwa zaidi ya Tanzania kwa eneo Barani Afrika.
Mhe. Rais Magufuli amesema pamoja na juhudi mbalimbali zilizofanywa kuhifadhi maliasili hapa nchini zikiwemo kuanzishwa hifadhi mpya, kutekeleza mkakati wa kuendeleza utalii katika Kanda ya Kusini kwa gharama ya shilingi Bilioni 340 na kuongeza mapambano dhidi ya ujangili, Serikali imechukua hatua nyingine madhubuti za kukuza utalii na uhifadhi zikiwemo kujenga na kuboresha viwanja vya ndege 11 hapa nchini, kununua ndege 8 ambapo 6 zimeshawasili na kuanza kutoa huduma za usafiri wa anga na kutekeleza mradi mkubwa wa katika mto Rufiji ambao utazalisha megawati 2,115 za umeme zitakazosaidia kupunguza matumizi makubwa ya kuni na mkaa ambao husababisha ekari 400,000 za miti kukatwa kila mwaka.
Ameongeza kuwa hatua hizo zimeanza kuzaa matunda kwani idadi ya watalii wanaotembelea hapa nchini imeanza kuongezeka kutoka watalii 1,100,000 mwaka 2015 hadi kufikia watalii 1,500,000 mwaka 2018 na kwamba yapo matumaini makubwa ya kufikia malengo ya watalii 2,000,000 mwaka 2020.
Mhe. Rais Magufuli ameitaka Wizara ya Maliasili na Utalii kuongeza juhudi za kuwavutia watalii zaidi zikiwemo kupunguza gharama za utalii, kuboresha hoteli za watalii, kupanua vivutio na huduma kwa watalii na kuwa na watoa huduma za utalii wazuri.
Aidha, Mhe. Rais Magufuli ameitaka Wizara ya Maliasili na Utalii kuwapa motisha wote wanaofanya kazi nzuri za uhifadhi na kukuza utalii hapa nchini, na katika hilo amemtaka Waziri Dkt. Kigwangallah kuwapa zawadi viongozi walioshiriki katika operesheni ya kuwaondoa wavamizi na wafugaji waliokuwa wameingiza mifugo katika Pori la Akiba la Burigi wakiongozwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jen. Mstaafu Salum Kijuu ambaye amezawadiwa shilingi Milioni 10 na Cheti, Wakuu wa Wilaya Shilingi Milioni 5 na Cheti kila mmoja na viongozi wengine waliopatiwa shilingi Milioni 2 na Cheti.
“Mimi nafahamu jinsi Meja Jen. Mstaafu Kijuu alivyofanya kazi kubwa ya kusafisha pori hili lilipovamiwa na wafugaji, nilimpa siku 3 awe ameondoa mifugo yote na kweli ndani ya siku 3 mifugo iliondoka na matokeo yake leo tuweza kuanzisha Hifadhi ya Taifa hapa, kabla yake ilikuwa haiwezekani, nakupongeza sana Meja Jen. Mstaafu Kijuu, Wakuu wa Wilaya na wote walioshiriki katika operesheni ile” amesema Mhe. Rais Magufuli.
Kuhusu zawadi ya sanamu ya Baba wa Taifa aliyopewa na Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kutambua mchango wake wa kuyaenzi maono ya Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere, Mhe. Rais Magufuli ameshukuru kwa zawadi hiyo na ameagiza wizara ijenge jengo litakalohifadhi sanamu hiyo ndani ya hifadhi ya Burigi- Chato na jengo hilo liitwe Kambi ya Kijuu (Kijuu Camp).
Mhe. Rais Magufuli ametoa wito kwa Mabalozi na wawekezaji mbalimbali wa ndani na nje ya nchi kujitokeza kuwekeza katika maeneo ya hifadhi ambayo kwa sasa yana fursa nyingi na pia ametoa wito kwa Watanzania kuhakikisha wananufaika na kuinuka kwa utalii hapa nchini.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamis Kigwangallah amesema kuanzishwa kwa Hifadhi ya Taifa ya Burigi-Chato kunafanya idadi ya Hifadhi za Taifa kuongezeka kutoka 16 hadi 19 na kwamba wizara hiyo inaendelea kuchukua hatua mbalimbali za kuboresha huduma kwa watalii ikiwemo kujenga hoteli 3 za nyota 3 katika maeneo ya hifadhi, hosteli, kujenga gati za maboti ya watalii, barabara na viwanja vya michezo katika hifadhi.
Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Chato
09 Julai, 2019
Pingback: viagra samples in canada
Pingback: generic cialis cost
Pingback: Buy viagra
Pingback: order cialis online
Pingback: cialis without prescription
Pingback: cialis 20mg
Pingback: medicine for impotence
Pingback: ed pills
Pingback: rx pharmacy
Pingback: cialis mastercard
Pingback: levitra price
Pingback: online casino games real money
Pingback: real casino online
Pingback: viagra generic
Pingback: hollywood casino online real money
Pingback: online slots
Pingback: buy cialis online overnight shipping
Pingback: payday loans online
Pingback: personal loan
Pingback: viagra pills
Pingback: casino slots gambling
Pingback: buy cialis
Pingback: carlosapoish
Pingback: play casino games online for cash
Pingback: new cialis
Pingback: cialis internet
Pingback: cialis generic
Pingback: Bovada
Pingback: play online casino real money
Pingback: real casino
Pingback: online slots for real money
Pingback: viagra online generic
Pingback: what is viagra
Pingback: viagra for sale
Pingback: tadalafil citrate
Pingback: cheap viagra generic
viagra pre workout
buying generic viagra online
viagra improves erectile function by
addyi female viagra
viagra online https://viaonlinebuy.us/ viagra
alternatives to viagra
Pingback: cialis 10mg
Pingback: buy viagra without a prescription online
Pingback: best online casino usa
Pingback: buy cialis viagra levitra online
viagra free coupon
viagra
is it ok to take viagra with daily cialis?
viagra when generic
https://www.v1agrabuy.com/# – canadian viagra
buy viagra online from india
vicks vaporub viagra
how long does it take for watermelon viagra to work
can you get viagra over the counter?
Pingback: buy generic viagra
viagra and vision loss what is known 2017
viagra pills https://viaonlinebuy.us online viagra
kelly king viagra
what to take with viagra to make it work better
watermelon viagra reviews
what to do if i have ingested fake viagra
Pingback: sildenafil
Wow, this piece of writing is pleasant, my sister is analyzing these kinds of things, so I am going to convey her.
what will viagra do for me
viagra
why dont the durg companies tell you about the damage viagra causes
viagra pill identification
trusttnstore.com https://trusttnstore.com/ sildenafil
natural viagra supplements
I am sure this paragraph has touched all the internet users, its really really good article on building up new webpage.
Greetings! Very useful advice within this article! It’s the little changes which will make the most significant changes. Thanks for sharing!
viagra forum where to buy if viagra does not help with ed
revatio vs viagra https://goeedl.com/ sildenafil cost walmart free viagra
viagra and low blood pressure why wouldnt you give viagra to a person who is having penis problems
viagra cheap viagra online for sale viagra without a prescription
what is the shelf life of viagra pills viagra vs cialis vs levitra price
cialis generic viagra erection https://aviib.com/ online viagra without subscription
natural viagra watermelon how many 100mg viagra can i take
Pingback: celebrex canada
Pingback: celexa without prescription
Pingback: nizagara 100 mg vs viagra
Pingback: caesars casino online
buy viagra online cheap buy viagra generic for viagra
Pingback: casino games win real money
Pingback: how to purchase escitalopram
Pingback: aripiprazole 15 mg pharmacy
canada drugs online pharmacy rx world canada pharmacy reviews
Pingback: pioglitazone 15 mg medication
pet antibiotics without vet prescription https://canadarx24.com/#
pain medications without a prescription
Pingback: fexofenadine without prescription
canada rx pharmacy indian pharmacy best drugstore blush
online generic cialis canada https://ciaaliss.com/
Pingback: glimepiride prices
ed medication mexican pharmacy mexican pharmacy
Pingback: how to buy atomoxetine
Pingback: irbesartan 300 mg tablets
Pingback: buspirone 5 mg no prescription
Pingback: clonidine 0.1 mg pharmacy
Pingback: cheapest cefuroxime 250 mg
cialis side effects
http://tadedmedz.com
cialis or viagra
Pingback: ciprofloxacin 1000mg australia
free dating,dating sites
free local dating sites,free dating site
[url=”http://freedatingste.com/?”]free dating sites[/url] http://freedatingste.com/
fda warning list cialis
http://tadedmedz.online
cialis 30 day trial coupon
Pingback: clindamycin united kingdom
Pingback: order clozapine 50mg
Pingback: how to purchase prochlorperazine
tinder online , tinder login https://tinderdatingsiteus.com/
Pingback: rosuvastatin 20mg canada
Pingback: divalproex 500mg cheap
Pingback: phenytoin without a doctor prescription
Pingback: oxybutynin 2.5 mg no prescription
Pingback: amitriptyline united states
Pingback: where to buy etodolac 200 mg
Pingback: tamsulosin 0.2mg without prescription
prescription cost comparison canadian pills canada drugs online pharmacy
Pingback: how to buy clotrimazole
I do trust all of the ideas you’ve presented to your post.
They are really convincing and will certainly work.
Nonetheless, the posts are very short for beginners.
May you please prolong them a bit from next time?
Thank you for the post.
Greetings from Colorado! I’m bored to tears at work so I decided to check out your website
on my iphone during lunch break. I enjoy the information you provide here and
can’t wait to take a look when I get home. I’m surprised at how
fast your blog loaded on my mobile .. I’m not even using WIFI, just 3G ..
Anyways, wonderful blog!
#file_links[C:\key\diflucan.txt,1,N]: {#file_links[C:\key\diflucan.txt,1,N]|diflucan|diflucan generic|diflucan without a doctor prescription|diflucan 150mg prescription|diflucan 150 price|diflucan tablet price|buy fluconazole|buy diflucan|cheap diflucan|#file_links[C:\key\diflucan.txt,1,N]} – #file_links[C:\key\diflucan.txt,1,N]
{https://diflucanst.com/|http://diflucanst.com/}# #file_links[C:\key\diflucan.txt,1,N]
#file_links[C:\key\diflucan.txt,1,N] [url={https://diflucanst.com/|http://diflucanst.com/}#]{#file_links[C:\key\diflucan.txt,1,N]|diflucan|diflucan generic|diflucan without a doctor prescription|diflucan 150mg prescription|diflucan 150 price|diflucan tablet price|buy fluconazole|buy diflucan|cheap diflucan|#file_links[C:\key\diflucan.txt,1,N]}[/url] #file_links[C:\key\diflucan.txt,1,N]