
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe pamoja na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na viongozi wengine mara baada ya kuwasili kwa Ndege mpya aina ya Boeng 787-8 Dreamliner ambayo imenunuliwa na Serikali.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 08 Julai, 2018 ameongoza mapokezi ya ndege mpya aina ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyonunuliwa na Serikali ya Tanzania kwa ajili ya kuliimarisha Shirika la Ndege la Taifa (ATCL).
Mapokezi ya ndege hiyo yamehudhuriwa na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, Mawaziri, Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi, Wabunge, viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama, Wakuu wa Mikoa, viongozi wa Dini, viongozi wa vyama vya siasa, wadau wa usafiri wa anga wakiwemo wafanyabiashara na wananchi wa Jiji la Dar es Salaam.
Ndege hiyo imewasili majira ya saa 11:10 jioni katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, kisha kupewa heshima ya kumwagiwa maji (Water Salute) na baadaye Mhe. Rais Magufuli akiwa na viongozi wakuu walioambatana nae akaizindua rasmi na kuikagua kwa kuingia ndani ya ndege ili kujionea mandhari ya ndani.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua ndege hiyo mpya na yakisasa aina ya Boeng 787-8 Dreamliner ambayo imenunuliwa na Serikali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua ndege hiyo mpya na yakisasa aina ya Boeng 787-8 Dreamliner ambayo imenunuliwa na Serikali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Akizungumza kabla ya kuwasili kwa ndege hiyo Mhe. Rais Magufuli amewapongeza Watanzania kwa kuchapa kazi na kulipa kodi, na hivyo kuiwezesha Serikali kupata fedha za kutekelezea miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ununuzi wa ndege kwa ajili ya kuimarisha ATCL ambayo ilikuwa na hali mbaya.
“Shirika letu la ndege lilikuwa na hali mbaya sana, lilikuwa na ndege moja tu tena ilikuwa inafanyiwa matengenezomara kwa mara, soko la ATCL lilishuka sana hadi kufikia asilimia 2.5, lakini sasa tumenunua ndege 7, hii ni ndege ya 4 na nyingine mbili zitakuja kabla ya mwaka huu kuisha, na nyingine kubwa aina ya Boeing 787-8 Dreamliner itakuja mwaka 2020.
“Tangu tumeongeza ndege 3 mpya aina ya Bombardier Q400 biashara ya ATCL imeongezeka, Shirika letu lilikuwa linasafirisha abiria 4,000 tu kwa mwezi lakini sasa linasafirisha abiria 21,000 na ndege zinatua katika vituo 12” amesema Mhe. Rais Magufuli.
Mhe. Rais Magufuli amebainisha kuwa Serikali iliamua kuchukua hatua ya kulinusuru Shirika la Ndege la Taifa ili kujenga heshima na kulinda hadhi ya Taifa, kuimarisha na kuboresha huduma za usafiri wa anga na kukuza utalii.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza mmoja wa Marubani aliyekuja na ndege hiyo (haonekani pichani) mara baada ya kuwasili katika katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

Ndege mpya aina ya Boeng 787-8 Dreamliner ambayo imenunuliwa na Serikali ikiwasili katika uwanja wa ndege wa wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Picha na Ikulu
Mapema akitoa taarifa ya ndege mpya aina ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyowasili hapa nchini leo, Katibu Mkuu Uchukuzi Dkt. Leonard Chamriho amesema ndege hiyo yenye uwezo wa kuchukua abiria 262, itaanza kutoa huduma kwa safari za ndani katika vituo vya Dar es Salaam, Kilimanjaro na Mwanza, mwezi Septemba itaanza safari zake kwenda Bombay nchini India, Guangzhou nchini China na Bangkok nchini Thailand na kwamba utaratibu umeanza ili ifanye safari za kwenda Uingereza na miji mingine duniani.
Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Inmi Petterson amewapongeza Watanzania kwa mafanikio makubwa ya kununua ndege hiyo kutoka nchini Marekani na amesema hiyo ni hatua muhimu ya Tanzania kujenga uchumi wake.
Viongozi wa Dini waliohudhuria katika tukio hili wameongoza dua ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa mafanikio haya makubwa na kuliombea Taifa pamoja na Mhe. Rais Magufuli katika majukumu yake ya kuongoza juhudi za kuleta maendeleo.
Katika sherehe hizo Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi amekabidhi ndege hiyo ya Serikali kwa Katibu Mkuu wa Uchukuzi Dkt. Leonard Chamriho kwa ajili ya kuikodisha ATCL ili kuanza kuitumia.
Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
08 Julai, 2018
Pingback: Brand viagra for sale
Pingback: cialis savings card
Pingback: cheap cialis
Pingback: Order viagra online
Pingback: Buy online viagra
Pingback: buy cialis online safely
Pingback: cheap cialis online
Pingback: viagra for sale
Pingback: cheapest ed pills
Pingback: erection pills that work
Pingback: cheap erectile dysfunction pill
Pingback: cialis 20 mg
Pingback: online canadian pharmacy
Pingback: buy vardenafil
Pingback: online levitra
Pingback: best online casinos that payout
Pingback: casino online gambling
Pingback: sildenafil price
Pingback: casino games
Pingback: cialis generic name
Pingback: no credit check loans
Pingback: cash advance
Pingback: instant loans
Pingback: viagra pills
Pingback: online gambling
Pingback: online casino real money asia
Pingback: real casino
Pingback: best online casino for money
Pingback: best online casino
https://mypharmexe.com/ viagra and alcohol
Pingback: real money online casino
writing a phd thesis http://thesiswritinghelpfvb.com/
tadalafil generic cialis online pharmacy online cialis
buy cialis without prescription http://sjcialis.com/ cialis generic
herbal alternative viagra how to get viagra real viagra for sale
tadalafil tablets what is tadalafil п»їcialis
generic cialis cheapest cialis cialis pill
research paper service http://researchpapersgaa.com/ best website to buy research papers
custom law essay the essay writer online essay writers wanted
buy essays http://buyessayhelpvwe.com/ order essay online cheap
dissertation writing services illegal http://dissertationhelpxvf.com/ dissertation help service
buy essays helping others essay essay writing services
custom my essay http://customessaywritershb.com/ essay writer website
essay help online http://essaywritingservicefav.com/ college essay writing service
Pingback: tadalafil 20 mg
help paper custom paper writing college papers for sale
how long does it take for cialis to work viagra or cialis cialis over the counter
tadalafil tablets cialis tadalafil cialis 20mg
cialis 10mg cialis pill non prescription cialis
viagra samples generic viagra online viagra online no prescription
daily cialis generic cialis india cialis website
cheapest viagra prices viagra for sale viagra dosage
cialis 5mg cialis online cialis without prescription
price viagra order viagra online viagra brand name
cialis 20 mg cialis price cheap cialis
what exactly does viagra do? viagra meme viagra and alcohol
viagra price comparison viagra no prescription order viagra online
generic cialis india cialis for women cheap cialis
natural alternative to viagra viagra brand order generic viagra
Nicely put, Regards. https://englishessayhelp.com/
Really all kinds of valuable tips. https://definitionessays.com/
Valuable information. Thanks a lot!
high school essay writing writers help content writing services usa
You actually said this very well.
college persuasive essay writing dissertation professional report writing services
Thanks a lot! Numerous facts!
canadianpharmacy pharmacy in canada
generic for viagra buy viagra cheap viagra online
viagra without a doctor prescription canada buy viagra generic viagra cost per pill
generic viagra india buy cheap viagra how much is viagra
With thanks! Good information.
help with writing a essay write my paper writing websites
Effectively spoken truly! ! what to write an essay on dissertation writing services thesis phd
over the counter erectile dysfunction pills https://canadarx24.com/ cheap online pharmacy
cialis without a doctor prescription
http://edcheapgeneric.online/
what is cialis used for
viagra or cialis cialis generic aiqexsqx buy cialis online canadian
cialis 20mg cialis 20 mg best price gzwpwvrx cialis dosage 40 mg dangerous
purchase tadalafil online: buy tadalafil online without a prescription – tadalafil 20mg price in india
viagra generic viagra without doctor prescription
cialis dosage http://generictadalafil20.com order cialis
mens erection pills top ed drugs
how much does viagra cost viagra pills
generic viagra walmart
order prednisone with mastercard debit: buy prednisone – buying prednisone mexico
https://zithromaxproff.com/# zithromax capsules australia
where can i buy zithromax capsules
http://zithromaxproff.com/# can you buy zithromax online
zithromax 500
http://zithromaxproff.com/# where to buy zithromax in canada
cost of generic zithromax
amoxil for sale: ciplox generic
buy stromectol
generic cefixime: buy sumycin online
buy cleocin
reputable online pharmacies in india: india pharmacies online reputable online pharmacies in india
usa pharmacy india: buy medication online from india generic pills india
ed meds: viagra pills online best ed pills
levitra pills: ed meds viagra pills online
roman viagra viagra without a doctor prescription viagra online no prescription
viagra non prescription viagra viagra without a prescription