
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mheshimiwa Dkt. Harrison Mwakyembe akiwapongeza viongozi na watumishi wa Shirika la Utangazaji Tanzania kwa kuongeza usikivu kwa maeneo ya mipakani (hawapo pichani) wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliyofanyika jana jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dkt. Ayoub Rioba (Picha na Anitha Jonas).
Na. Anitha Jonas – WHUSM
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe ameupongeza uongozi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kwa kuongeza usikivu katika maeneo mbalimbali ya mipakani mwa nchi.
Mheshimiwa Mwakyembe ametoa pongezi hizo alipokuwa akifungua mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa Shirika hilo uliyofanyika jana jijini Dar es Salaam ambapo katika mkutano huo walijadili mambo mbalimbali ikiwemo masuala ya bajeti na mwenendo wa shirika hilo.
Dkt. Mwakyembe alisema: “Ninafuraha kubwa kupata taarifa ya kuimarika kwa usikivu katika maeneo ya mipakani yaliyokuwa na yanasumbua kwa muda mrefu kama maeneo ya Tarakea, Kibondo, Longido,Tarime na Mbambabay pamoja na maeneo ya Mtwara na Nachingwea,” Dkt.Mwakyembe.

Mkurugenzi Mkuu Shirika la Utangazaji Tanzania Dkt. Ayoub Rioba akitoa taarifa ya upanuzi wa usikivu wa matangazo ya Shirika hilo nchini kwa Mheshimiwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe (Kushoto) wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliyofanyika jana jijini Dar es Salaam (Picha na Anitha Jonas).
Akiendelea kuzungumza katika mkutano huo Mheshimiwa Waziri Mwakyembe aliupongeza uongozi wa TBC kwa kufanya maamuzi ya kutumia mafundi mitambo wa ofisi yao kwa ajili ya kufunga mitambo hiyo pamoja na kufanya matengenezo pia aliwapongeza mafundi mitambo waliofanya kazi hiyo kwa uaminifu na uzalendo huku akiomba uongozi wa shirika hilo kuwatambulisha bungeni mafundi hao wakati wa bunge la bajeti.
Kwa upande wa Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania Dkt. Ayoub Rioba alieleza kuwa mpaka sasa katika Wilaya ya Geita, tayari Shirika limefunga mitambo mipya inayosaidia kuboresha usikivu wa uhakika na kazi hiyo imefanywa na mafundi wazalendo wa shirika hilo.
Naye Kaimu Mkurugenzi Idara ya Ufundi kutoka TBC Bw. Joseph Kambanga alieleza kuwa mpaka sasa kazi ya kububoresha usikivu inaendelea na baadhi ya mafundi walikuwa Tarime wakiendelea na kazi hiyo na kwa mwezi ujao wanategemea kuongeza usikivu kwa Mkoa wa Mtwara na Nachingwea.
Pingback: cialis price
Pingback: Generic viagra canada
Pingback: when will cialis be over the counter
Pingback: cheap viagra
Pingback: buy erection pills
Pingback: best otc ed pills
Pingback: cheap erectile dysfunction pills
Pingback: cialis online
Pingback: online canadian pharmacy
Pingback: cialis mastercard
Pingback: generic levitra online
Pingback: vardenafil usa
Pingback: generic name for viagra
Pingback: casinos
Pingback: casino online slots
Pingback: cash loans
Pingback: viagra pills
Pingback: generic cialis
Pingback: cialis to buy
Pingback: generic for cialis
Pingback: cialis internet
Pingback: slot games
Pingback: casino apps for iphone
Pingback: free slots
Hey! This is kind of off topic but I need some guidance from an established blog.
Is it difficult to set up your own blog? I’m not very techincal but I can figure things out pretty quick.
I’m thinking about making my own but I’m not sure where to start.
Do you have any tips or suggestions? Thank you
Pingback: casino online real money
Pingback: slot machine games
If some one wants expert view regarding running a blog after that i suggest him/her to visit this weblog,
Keep up the good work.
Pingback: viagra dosage
hi!,I love your writing very much! share we be in contact more approximately your post on AOL?
I need a specialist in this area to resolve my problem.
May be that’s you! Having a look ahead to peer you.
Hey! I know this is kind of off topic but I was wondering which blog platform are you using for this website?
I’m getting sick and tired of WordPress because I’ve had problems with
hackers and I’m looking at options for another platform. I would be awesome if you could point me in the direction of a good platform.
Pingback: tadalafil 20 mg
Greate post. Keep writing such kind of info on your blog.
Im really impressed by your blog.
Hi there, You’ve performed a fantastic job. I’ll definitely digg
it and for my part recommend to my friends. I am confident they will be
benefited from this web site.
My web page bovada no deposit code
Sccyyw yphcqp buy cialis for daily use online Lagalm wtlpve cialis drugs tadalafil 5mg