
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (katikati), akitembelea maeneo ya Chuo cha Taaluma ya Polisi ambacho hivi karibuni kimepokea Shilingi Milioni Mia Saba kutoka kwa Rais Dkt. John Magufuli kwa ajili ya ujenzi wa majengo ya chuo hicho,Wengine ni viongozi wa chuo.
Na Mwandishi Wetu
Jeshi la Polisi nchini limeelekezwa kutumia wafungwa ili kuweza kuokoa kiasi cha Shilingi Milioni Mia Mbili kati ya Milioni Mia Saba zilizotolewa na Rais Dk. John Magufuli katika Mradi wa Ujenzi wa Mabweni na Madarasa ya Chuo cha Taaluma ya Polisi kilichopo Kurasini jijini Dar es Salaam.
Maelekezo hayo yametolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni alipotembelea majengo chakavu ya chuo hicho baada ya kupokea kiasi cha Shilingi Milioni Mia Saba alizoahidi Rais Dkt. John Magufuli akihutubia katika mahafali ya kuhitimisha Mafunzo ya Kozi za Uofisa na Ukaguzi Msaidizi chuoni hapo mwishoni mwa mwaka jana

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza na Askari Polisi ambao ni wanafunzi katika Chuo cha Taaluma ya Jeshi la Polisi, wakati alipotembelea chuoni hapo kufuatilia maandalizi ya awali baada ya jeshi hilo kupokea kiasi cha Shilingi Milioni Mia Saba kutoka kwa Rais Dkt. John Magufuli kwa ajili ya ujenzi wa chuo hicho.Ziara hiyo imefanyika leo jijini Dar es Salaam.
“Wizara ina taasisi ya magereza ambayo ina nguvu kazi ya kutosha, na Rais alishaagiza wafungwa watumike katika shughuli za uzalishaji, sioni sababu ya kutumia kiasi hicho cha pesa kuwalipa vibarua wa nje, naagiza muwasiliane na Jeshi la Magereza pamoja na kikosi cha ufundi kilichopo ndani ya Jeshi la Polisi ili muweze kuona ni vipi mnaokoa kiasi hicho”alisema Masauni
Akitoa taarifa ya awali ya ujenzi huo, Mkuu wa Chuo cha Taaluma ya Polisi, Naibu Kamishna Anthony Rutashuburugukwa alitaja majengo yatakayojengwa kuwa ni ghala la chuo, madarasa matatu,bweni moja la askari wa kiume na bweni lingine la askari wa kike.
Wakizungumza kwa masharti ya kutotajwa majina wanafunzi wa chuo hicho walimshukuru Rais Dkt. Johh Magufuli kwa kiasi cha fedha alichotoa ili kuweza kujenga sehemu mbalimbali za chuo hicho ikiwemo mabweni ambayo wamekiri ni chakavu na si rafiki kwa matumizi ya binadamu.

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akitembelea maeneo ya Chuo cha Taaluma ya Polisi ambacho hivi karibuni kimepokea Shilingi Milioni Mia Saba kutoka kwa Rais Dkt. John Magufuli kwa ajili ya ujenzi wa majengo ya chuo hicho, kulia ni Mkuu wa Chuo, Naibu Kamishna, Anthony Rutashuburugukwa.( Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani)
Pingback: generic sildenafil
Pingback: best non prescription ed pills
Pingback: ed meds online without doctor prescription
Pingback: erectile dysfunction medicines
Pingback: cialis online
Pingback: online canadian pharmacy
Pingback: best online pharmacy
Pingback: Get cialis
Pingback: generic cialis
Pingback: vardenafil online
Pingback: vardenafil price
Pingback: vardenafil 20mg
Pingback: hard rock casino online
Pingback: empire city casino online
Pingback: viagra 100mg
Pingback: casino real money
Pingback: buy tadalafil online
Pingback: personal loans
Pingback: instant loans
Pingback: 5 mg cialis
Pingback: LuckyCreek
Pingback: 20 cialis
Pingback: buy cialis
Pingback: no download casino bonus
Pingback: wind creek casino online games
Pingback: live casino roulette online
Pingback: best online casino usa
Pingback: play casino
Pingback: gambling casino
Pingback: casino games
Pingback: online pharmacy viagra
Pingback: viagra alternative
Pingback: buy cialis online
what to say to get viagra reddit
viagra without a doctor prescription
viagra 40 pills for 99.00
viagra masturbation
generic viagra online viaonlinebuy.us generic viagra for sale
do women take viagra
viagra in rectum
https://viaonlinebuy.us/# – generic viagra online
viagra effect on women
Pingback: slot machines
Someone necessarily help to make severely articles I might state. That is the first time I frequented your web page and thus far? I amazed with the analysis you made to create this actual post amazing. Fantastic activity!
women viagra pill
https://www.v1agrabuy.com/# – viagra generic
guy gets 2 hour boner from viagra
Pingback: Viagra 100 mg over the counter
Pingback: online viagra
how to.make homeade viagra
buy cialis
worldstar viagra prank
Hi there! This article could not be written much better! Reading through this article reminds me of my previous roommate! He always kept talking about this. I will send this information to him. Pretty sure he’s going to have a good read. I appreciate you for sharing!
viagra sin receta
buy generic viagra
cjng dismembers viagra
viagra for men online viagra without prescription cheap generic viagra
Pingback: how to buy ceftin
Pingback: claritin 10mg generic
Pingback: rivers casino
Pingback: zestril 5 mg without a doctor prescription
Pingback: tadalafil without a doctor prescription
Pingback: cheap escitalopram
Pingback: cefuroxime without prescription
Pingback: prochlorperazine united states
Pingback: divalproex 500 mg prices
Pingback: venlafaxine 75mg australia
Pingback: permethrin 30g usa
Pingback: erythromycin prices
indian pharmacy best online pharmacy skin care
viagra australia free how to get viagra in dubai viagra online pay with paypal
cialis 20 mg for sale buy cialis overnight shipping viagra,cialis india
Pingback: clotrimazole 10g united kingdom