Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb)
Na: Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dar es salaam
Serikali imetangaza kiama kwa
wanaochelewesha mbolea kuwafikia wakulima kwa wakati kwani kuchelewa kwa mbolea
ni miongoni mwa sababu zinazopunguza uzalishaji wa mazao mbalimbali ya wakulima
nchini.
wanaochelewesha mbolea kuwafikia wakulima kwa wakati kwani kuchelewa kwa mbolea
ni miongoni mwa sababu zinazopunguza uzalishaji wa mazao mbalimbali ya wakulima
nchini.
Mbolea kutofika kwa wakulima
kwa wakati ni wazi kuwa Taasisi iliyopewa jukumu la kusimamia na kudhibiti
mbolea ya TFRA imeshindwa kufanya kazi yake kwa ufasaha hivyo ikibainika
kuchelewa kwa mbolea pasina sababu za msingi watendaji hao watachukuliwa hatua
za kisheria.
kwa wakati ni wazi kuwa Taasisi iliyopewa jukumu la kusimamia na kudhibiti
mbolea ya TFRA imeshindwa kufanya kazi yake kwa ufasaha hivyo ikibainika
kuchelewa kwa mbolea pasina sababu za msingi watendaji hao watachukuliwa hatua
za kisheria.
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet
Hasunga (Mb) ametoa kauli hiyo ya onyo leo tarehe 4 Julai 2019 Jijini Dar es
salaam wakati akizungumza kwenye kikao kazi na wafanyakazi wa Taasisi ya udhibiti
wa mbolea Tanzania (TFRA).
Hasunga (Mb) ametoa kauli hiyo ya onyo leo tarehe 4 Julai 2019 Jijini Dar es
salaam wakati akizungumza kwenye kikao kazi na wafanyakazi wa Taasisi ya udhibiti
wa mbolea Tanzania (TFRA).
Alisema kuwa mbolea
inayohitajika kwa wakulima ni Lazima ipatikane kwa wakati katika maeneo ya
kilimo. “Kupatikana kwa wakati maana yake ni kwamba kila mtu anapoishi anapaswa
kuipata kirahisi kupitia maduka au masoko” Alisema
inayohitajika kwa wakulima ni Lazima ipatikane kwa wakati katika maeneo ya
kilimo. “Kupatikana kwa wakati maana yake ni kwamba kila mtu anapoishi anapaswa
kuipata kirahisi kupitia maduka au masoko” Alisema
Aliongeza kuwa kazi ya
Taasisi ya udhibiti wa mbolea Tanzania ni kuhakikisha mbolea inawafikia
wakulima sio kusalia Jijini Dar es salaam ilihali wakulima wapo mikoa yote
Tanzania na endapo mbolea ikikosekana kwa wakulima watendaji wa TFRA
watachukuliwa hatua za kinidhamu.
Taasisi ya udhibiti wa mbolea Tanzania ni kuhakikisha mbolea inawafikia
wakulima sio kusalia Jijini Dar es salaam ilihali wakulima wapo mikoa yote
Tanzania na endapo mbolea ikikosekana kwa wakulima watendaji wa TFRA
watachukuliwa hatua za kinidhamu.
Kadhalika alisema kuwa
kupatikana pekee kwa mbolea kwa wakulima ni jambo moja lakini muhimu ni kuwa na
bei nafuu ambazo wakulima wataweza kuzimudu.
kupatikana pekee kwa mbolea kwa wakulima ni jambo moja lakini muhimu ni kuwa na
bei nafuu ambazo wakulima wataweza kuzimudu.
“Sasa hivi kuna malalamiko
mengi kwa wakulima kuwa mbolea zinauzwa bei ya juu hivyo wameshindwa kuzimudu, haiwezekani
mbolea itoke Ulaya ikiwa na bei nafuu lakini kumfikia mkulima inakuwa na bei
ghali, hapo ni wazi kuwa TFRA hamjafanya kazi yenu sawasawa” Alikaririwa Mhe
Hasunga
mengi kwa wakulima kuwa mbolea zinauzwa bei ya juu hivyo wameshindwa kuzimudu, haiwezekani
mbolea itoke Ulaya ikiwa na bei nafuu lakini kumfikia mkulima inakuwa na bei
ghali, hapo ni wazi kuwa TFRA hamjafanya kazi yenu sawasawa” Alikaririwa Mhe
Hasunga
Alisema kuwa endapo TFRA
itatekeleza majukumu yake ipasavyo mbolea itapungua bei na wakulima watanufaika
na serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Mhe Dkt John Pombe Magufuli, Rais
wa Tanzania.
itatekeleza majukumu yake ipasavyo mbolea itapungua bei na wakulima watanufaika
na serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Mhe Dkt John Pombe Magufuli, Rais
wa Tanzania.
“Na kama tatizo la gharama
linaongezeka kutokana na usafirishaji kuna sababu gani za kutumia magari
kusafirisha wakati kuna usafiri muhimu wa reli (TRC) ambapo mawakala wangepakua
na kusambaza mizigo hiyo baada ya kufika katika maeneo mbalimbali inapoishia
reli” Alisema
linaongezeka kutokana na usafirishaji kuna sababu gani za kutumia magari
kusafirisha wakati kuna usafiri muhimu wa reli (TRC) ambapo mawakala wangepakua
na kusambaza mizigo hiyo baada ya kufika katika maeneo mbalimbali inapoishia
reli” Alisema
Hata hivyo amesisitiza kuwa
serikali imeanzisha mchakato wa kupitia mbolea kote nchini ili uagizaji wa
mbolea iweze kuagizwa itakayoendana na uwezo wa udongo.
serikali imeanzisha mchakato wa kupitia mbolea kote nchini ili uagizaji wa
mbolea iweze kuagizwa itakayoendana na uwezo wa udongo.
MWISHO
What’s Going down i’m new to this, I stumbled upon this
I’ve found It positively useful and it has aided me out loads.
I am hoping to contribute & help other users
like its helped me. Great job.
Fantastic goods from you, man. I’ve take into account your stuff prior to and you’re simply too magnificent.
I actually like what you’ve received here, certainly like what you’re stating
and the way by which you assert it. You make it entertaining and you still take
care of to keep it wise. I can not wait to read much
more from you. This is actually a tremendous web site.
If some one needs expert view on the topic of
blogging and site-building then i propose him/her to pay a quick visit this
weblog, Keep up the pleasant work. adreamoftrains website hosting services
It’s in point of fact a nice and helpful piece of info.
I’m happy that you just shared this helpful info
with us. Please keep us up to date like this. Thanks for sharing.
Thank you for some other informative website. The place else may just I get that kind of info written in such an ideal method?
I have a mission that I am just now operating on, and I’ve been at the look
out for such info.
Your style is so unique compared to other folks
I have read stuff from. Many thanks for posting when you’ve got the opportunity, Guess I will
just bookmark this page.
I’m not that much of a online reader to be honest but
your blogs really nice, keep it up! I’ll go ahead and bookmark your site to come back later.
Cheers