
Baadhi ya Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali wakijisajili katika karatasi ya mahudhurio wakati wa mafunzo kwa Maafisa Habari na Mwasiliano wa Serikali na taasisi zake leo jijini Dodoma.Mafunzo hayo ya siku tano yameandaliwa kwa ushirikiano baina ya Idara ya Habari – MAELEZO na Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini (TAGCO) kwa lengo la kuwajengea uwezo maafisa hao. Waliokaa kutoka kulia ni Mweka Hazina wa TGCO, Bibi. Tabu Shaibu na Mjumbe wa Kamati Tendaji, Bw. Innocent Byarugaba.

Baadhi ya Maafisa Habari wakifuatilia namna ya kutumia Kamera toka kwa mwezeshaji, Bw. Furaha Daniel (aliyeshika kamera) Bw. Furaha Daniel wakati wa mafunzo kwa Maafisa Habari na Mwasiliano wa Serikali na taasisi zake leo jijini Dodoma. Mafunzo hayo ya siku tano yameandaliwa kwa ushirikiano baina ya Idara ya Habari – MAELEZO na Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini (TAGCO) kwa lengo la kuwajengea uwezo maafisa hao.

Afisa Uhusianno toka Shirika la Utangazaji la Tanzania (TBC), Bi. Christina Seth Shoo akifafanua jambo wakati wa mafunzo kwa Maafisa Habari na Mwasiliano wa Serikali na taasisi zake leo jijini Dodoma. Mafunzo hayo ya siku tano yameandaliwa kwa ushirikiano baina ya Idara ya Habari – MAELEZO na Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini (TAGCO) kwa lengo la kuwajengea uwezo maafisa hao.

Baadhi ya Maafisa Habari wakifuatilia mafunzo ya namna ya kuzalisha vipindi toka kwa mwezeshaji, Bw. Furaha Daniel (hayupo pichani) wakati wa mafunzo kwa Maafisa Habari na Mwasiliano wa Serikali na taasisi zake leo jijini Dodoma. Mafunzo hayo ya siku tano yameandaliwa kwa ushirikiano baina ya Idara ya Habari – MAELEZO na Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini (TAGCO) kwa lengo la kuwajengea uwezo maafisa hao. (Picha na Idara ya Habari – MAELEZO)
I have read so many articles or reviews about the
blogger lovers but this article is truly a pleasant paragraph, keep it up.
If some one wishes expert view on the topic of blogging and site-building
afterward i propose him/her to pay a visit this blog, Keep up the fastidious job.
Hi just wanted to give you a quick heads up and let you
know a few of the pictures aren’t loading properly. I’m not sure why but I
think its a linking issue. I’ve tried it in two different web browsers and both show the
same outcome.
Hello everyone, it’s my first pay a quick visit at this website, and piece of writing is in fact fruitful
in support of me, keep up posting these content.
What a data of un-ambiguity and preserveness of precious know-how concerning unpredicted feelings.
Just desire to say your article is as astounding. The clarity in your post is simply spectacular and i can assume you are an expert on this subject.
Well with your permission allow me to grab your feed to
keep updated with forthcoming post. Thanks a million and please carry on the gratifying work.
OlE1f7 http://pills2sale.com/ viagra cialis buy
tindr , tider https://tinderdatingsiteus.com/