Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi, Anna Makinda akizungumza wakati wa kikao cha viongozi wa madhehebu ya dini mkoani Tanga, Serikali wakiwemo Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri, kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima akifuatiliwa na Katibu Tawala wa Mkoa huo, Pili Manyema na Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Hashim Mgandiliwa.
Na Oscar Assenga, TANGA.
Zaidi ya watanzania milioni 61 wanakadiriwa kuhesabiwa wakati wa zoezi la Sensa ya Watu na Makazi litakalofanyika Agosti 23 mwaka huu hapa nchini.
Hayo yalisemwa na Kamisaa wa Se...
Read More