Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta utepe pamoja na Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Central Tanganyika (DCT), Dkt. Dickson Chilongani kuashiria ufunguzi rasmi wa Jengo la Kitega Uchumi (Safina House) la Kanisa hilo kwenye sherehe zilizofanyika katika viwanja vya Kanisa Kuu la Roho Mtakatifu Jijini Dodoma tarehe 15 Agosti, 2023. Engine katika picha ni Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Mhashamu, Dkt. Maimbo Mndolwa pamoja na Maaskofu wengine wa Kanisa hilo nchini.
Read More