Baadhi ya picha za matukio ya mapokezi ya timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya Tanzania (Taifa Stars) katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam leo, Januari 08, 2025, kufuatia kuwasili kutoka nchini Morocco walikoshiriki michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Read More