Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (TANTRADE), Bi. Latifa M. Khamis, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio na mwelekeo wa mamlaka hiyo katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita leo Machi 13, 2025, katika Ofisi za Idara ya Habari - MAELEZO, jijini Dodoma.
Read More