Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha Mshomba, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio na mwelekeo wa Taasisi hiyo katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita leo Machi 17, 2025, katika Ofisi za Idara ya Habari - MAELEZO, jijini Dodoma.
Read More