[caption id="attachment_6532" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi (pichani) akiongea na Watendaji wa Mahakama pindi alipotembelea Mahakama ya Rufani (T) mapema leo na kuonana na Kaimu Jaji Mkuu na Viongozi wengine wa Mahakama,Prof. Kabudi amehaidi kutoa ushirikiano wa dhati kwa Mahakama katika utekelezaji wake wa jukumu la utoaji haki nchini, katikati ni Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Juma, kulia ni Jaji Kiongozi, Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Ferdinand Wambali.[/caption]
Na L...
Read More