Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Waziri Mkuu Akagua Maendeleo ya Ujenzi wa Jengo la NEC Lililopo Dodoma.
May 13, 2020
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_52548" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), Njedengwa, jijini Dodoma, Dodoma, Mei 5, 2020.[/caption] [caption id="attachment_52549" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Wenye  Ulemavu, Jenista Mhagama, wakati alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), lililopo Njedengwa, jijini Dodomalinalojengwa na Kampuni ya Ujenzi ya SUMA JKT,[/caption] [caption id="attachment_52552" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Msimamizi na Meneja Mradi, Godwin Maro, wakati alipoenda kukagua ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), iliyopo Njedengwa, jijini Dodoma Mei 5, 2020.[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi